"Benadi nimemiss Comments zako ktk Page yangu
Hebu tupe Comment kuhusu Mwamedi kuumwaga,,,nn Shida?
Mayele au B Ishirini za Chupli Wajumbe wa Bodi wameanza kuhoji?
Najua wametaka kujua zimewekwa Benki gani na Mwamedi kachukia kuulizwa,,,,
Benadi hebu tujibu basi fasta,,,,
Benadiiiiiiiiiii 🤪🤪
@bm3gh" Manara
Mbona comment ya Morrison ujaweka aliemjibu Manara?
ReplyDelete