IGP Sirro "Tutapita Madrasa na Sunday Schools Kukagua Yanayofundishwa"



Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema watakuwa wakipita katika Nyumba za Ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika Madrasa na Shule za Jumapili (Sunday Schools)

IGP Sirro ameongeza kuwa hatua hiyo ni kutaka kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa maeneo hayo, jambo ambalo amejifunza Rwanda alipokwenda kwa ziara ya siku nne

Amesema watawashirikisha Viongozi wa Dini na Timu ya Kupambana na Makosa ya Kigaidi kuona namna ya kupitia mafunzo hayo kuona kama yanawajenga au yanawabomoa


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad