Cedric Kaze tayari yupo nchini, ametua usiku wa kuamkia leo na huenda wakati wowote akatambulishwa kama Kocha Msaidizi.
Inaelezwa Kaze ataanza majukumu yake mara moja na atakuwa sehemu ya benchi la ufundi kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii Jumamosi Septemba 25.