#MauaSama Ametumia Ukurasa Wake Wa Instagram Kuthibitisha Hilo Akionesha Chats Zake Pamoja na Rapa Huyo, Huku Kionjo Cha Ngoma Yake Mpya Ikisikika
"… And It’s happening soon 🤍🤍🤍 Kesho (FRIDAY) @ 08:30AM muda wetu ni ule uleee! 🌺 x 🐐 x 🔇"
Hivyo Huenda Kesho Nyota Huyu Akaachia Ngoma Hiyo Aliomshirikisha #Tpain