Maskini Kenya Wanakabiliwa na Baa la njaa, Angalia Picha Hapa




Serikali ya Kenya wiki iliyopita ilitangaza ukame kama janga la kitaifa, huku majimbo ya Kilifi, Kwale, Tana River na Lamu yakiwa miongoni mwa maeneo ambayo yanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula kwa sababu ya ukosefu wa mvua.






Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad