Muuaji wa George Floyd Sasa Kukata Rufaa Baada ya Kupewa Kifungo Cha Miaka 22




Derek Chauvin aliyehukumiwa kifungo cha miaka 22.5 amedai Jaji katika Kesi hiyo alitumia vibaya nafasi yake mara kadhaa.

Mauaji ya Floyd yalisababisha maandamano makubwa kote Marekani.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad