Mwanafunzi Mbaroni Kisa Kuchoma Mabweni Baada ya Kusimamishwa Masomo



Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyehunge iliyopo Wilayani Sengerema, Lucas Moshi anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuchoma Mabweni mawili ya Shule hiyo Septemba 27

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema, Sanyi Ganga amesema Mwanafunzi huyo alisimamishwa masomo na kutakiwa kufika Shuleni na Wazazi lakini hakufanya hivyo, badala yake alikuwa akizunguka maeneo ya Shule

Hakuna Mwanafunzi aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha, mbali na mali za Wanafunzi zilizoteketea kwa Moto zikiwemo Nguo, Madaftari pamoja na Magodoro.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad