Ni Kisanga Nandy, Zuchu na Rosa Ree Wakutana Afrima

 


Hatimae wanamuziki bora wakike Tanzania Nandy, rosaree na Zuchu, wamekutana katika category moja "Best Female Artist in East Africa", Afrimma 2021. Mbali na watanzania hao, wapo pia wasanii wengine kutoka Kenya, Uganda na Eritrea.


Je nani unatamani kutoka Tanzania achukue Tuzo hiyo?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad