Rais Samia "Kazi ya Waziri wa Ulinzi Sio Kubeba Bunduki Wala Kuwa na Misuli Mikubwa"



Rais Samia Suluhu Hassan amesema kazi ya Waziri kwenye Wizara ya Ulinzi sio kubeba mzinga wala kupiga bunduki, bali ni kusimamia Sera na Utawala wa Wizara

Amesema, "Nimeamua kuvunja 'myth au taboo' ya muda mrefu kwamba Wizara ya Ulinzi lazima akae Mwanaume mwenye misuli yake. Nimempeleka Dkt. Stergomena Tax huko kwasababu ya upeo aliopata akiwa SADC"

Ameongeza, "Yeye anajua vema Askari wetu waliopo Msumbiji na DR Congo, kwanini wapo huko na mifumo yao. Atamsaidia vizuri CDF katika upande huo"

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad