RC Makalla AAGIZA Wamachinga Kuondoa Biashara Barabarani



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ametangaza zoezi la kurejesha Mkoa katika hadhi yake kwa kuanza na wamachinga wanaofanya biashara katika hifadhi za barabara

Zoezi hilo linatakiwa kuanza Septemba 13, 2021 na RC Makalla amewataka waondoe vibanda vyao barabarani na kufanya biashara katika maeneo rasmi
-
Amesema hali ya ufanyaji #Biashara holela ipo kwa wingi, jambo linalopelekea watembea kwa miguu kukosa Haki zao za msingi

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad