Kutana na Kabila Linalochoma Maiti na Kusaga Mifupa Kisha Kupiga Supu na Kunywa


Pia Kabila hili ambalo hupatikana haswa misituni (amazon) nchini Venezuela na Brazil lina utamaduni wa kuzikata maiti za ndugu zao katika vipande vidogo vidogo, ambavyo baadae vipande hivyo hufunikwa na majani na kuachwa kwa muda wa siku 35-mpaka 40.

→Alafu Ndugu hao watairudia mifupa iliyobakia na kuisaga mpka kua unga, ambao Unga wa mifupa hiyo watauchanganya kwenye supu na kunywa kama ishara ya kumalizika kwa zoezi la mazishi.

Hawa watu Wapo Dunia hiii hiii sio kwenye sayari ya Jupiter

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad