Mashabiki rukhsa uwanjani michezo ya CAF Tanzania





Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika ‘CAF’ limeruhusu mashabiki kwenye michezo yake ya kombe la shirikisho Afrika na Ligi ya mabingwa barani humo kwa timu za Tanzania inayotaraji kuchezwa kuanzia Ijumaa ya leo Oktoba 15,2021.



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad