Mabegi yaliyotelekezwa Kampala yatolewa baada ya kuibua hofu ya mabomu




Polisi nchini Uganda wameondoa mabegi yametelekezwa mtaani katika mji mkuu wa Kampala baada ya kusababisha hofu ya mabomu mjini humo. Tovuti ya habari ya eneo hilo imechapisha picha za operesheni ya polisi.


Wakazi wamekuwa katika hali ya tahadhari tangu mashambulio ya wiki iliyopita ya kujitoa muhanga yaliyoua watu wanne.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad