Mama Samia "Tulifanya Dhambi Kubwa Sana Kuchoma Vifaranga vya Kenya"


"Tulikuwa tuvutana na wenzetu kutoka Kenya,kila mtu akivutia kwake,bidhaa zikawa zinazuiwa huku na kule, hadi tunachomeana Vifaranga vya kuku mipakani,dhambi kubwa hii tulifanya" Mhe.Samia Suluhu Hassan


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad