Kupitia ukurasa wake wa Instagram, msanii @diamondplatnumz ameweka wazi kuwa madini aliyovaa vidoleni yana thamani ya zaidi ya milioni 230M Tsh huku yaliyo mkononi yakiwa na thamani ya milioni 407M Tsh.
Hapa Aristoste anashindwa abaki na nani kati ya Vunja Bei na Diamond😂.