Q Chief apigwa na kitu kizito kichwani




Msanii Aboubakary Katwila Q Chief ameweka wazi kwamba amepitia changamoto nyingi tangu ameingia kwenye ndoa jambo ambalo limemfanya kumkondesha mwili wake.


Q Chief ameongeza kusema jambo lingine lilomfanya kukonda ni changamoto binafsi za maisha yake mpaka kusababisha kukaa kimya kwa muda wa mwaka mmoja kwenye game.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad