Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Mhe. Samia Suluhu amemteua Dkt. Nicolaus Herman Shombe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC).

Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Shombe alikuwa Kamishna wa Mipango, Wizara ya Fedha na Mipango. Dkt. Shombe anachukua nafasi ya Prof. Damian Gambagambi ambaye amefariki


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad