Ukosefu wa Nguvu Dhabiti za Kiume Ulininyima Furaha Katika Ndoa, Mke Alinitoroka

 


Tuliishi kwa furaha na mke wangu Rachel. Hatukua tumefanikiwa kupata mtoto ambalo ndio  ilikua ishara ya kwamba ndoa ilikua kamilifu. Tulifungia ndoa kanisani mbele ya umati mkubwa  wa watu wa familia, marafiki na wachungaji kwani hatukutaka kufanya mambo kichinichini. Baada ya kuishi pamoja kwa muda wa mwaka moja hivi hatukua tumefanikiwa kun a mtoto. Nilianza kumsingizia mke wangu kua yeye ndiye alikua mwenye shida ile. Siku moja tuliamua  kwenda kufanyiwa uchunguzi wa kimatibabu. Ilipatikana kwamba mm ndiye sikua na uwezo wa  kupeana mimba. Tuliporejea nyumbani mke wangu aliniambia pia kando na kua singemzalisha,  sikua pia ninamtosheleza kingono. Jambo hili lilinitia kiwewe kwa sababu alikua bado malaika  na kila ghulamu angemtamani kwa vile alikua na umbo nzuri la kuvutia ajabu. 

Baada ya mabishano kiasi pale chumbani aliamua kuondoka huku akiniita wanaume asiye na  mani bali maji. Nilibaki kwenye upweke kwa muda. Nilianza tabia za kuwatogoza bibi za watu  ambapo nilitumia pesa nilizokua nazo kuwashawishi kushirika ngono nao ili nimalize kiu change  cha uroda. Wanawake wale pia walilalamika kwamba hamna chochote nilichoukua nacho kwani  nilikua nawasumbua kwa kua nguvu zangu za kiume zilikua dhaifu sana. Nilikimbilia kwenye  madanguro kutafuta makahaba lakini hakuna aliyetaka tushiriki ngono naye jambo  lililonishangaza kwani wengi wao japo walitaka pesa walinipea mgongo kwani walikua  wamegundua udhaifu wangu. Nilipowaambia marifiki wangu kuhusu shida niliyokua napitia  walinikashifu vikali huku wengi wao wakinicheka kwa kejeli kila mara. Wengi wao walitania  kwamba mke wangu alipata mwanaume hasa anayemliza kila uchao huku mm nikihangaika na  ukame wa uroda. 

Jambo hili la kua na nguvu chanya za kiume lilinikosesha usingizi kabisa. Wazazi wangu  waliniuliza niwaeleze mbona mke wangu aliniacha niliwandangaya tu ni mambo madogo ya  kifamilia. Sikutaka hata siku moja wafahamu fika kwamba alitoroka kwa ajili ya nguvu zangu za  kiume hafifu kwa kua ningeabika pakubwa. Niliogopa kutembea na marafiki zangu waliokua na  familia kwani nilijihisi mnyonge mbele yao. Mara nyingi nilipotoka kazini nilipita upesi maeneo  ya burudani ambapo marafiki zangu walitulia kwa ajili ya gumzo na kuelekea nyumbani kwa

ajili ya uoga na aibu. Sikutaka mtu yeyote kunitembelea nilikokua naishi kwa sababu mke wangu  alikua keshapasua mbarika hali yangu baada ya kunitoroka. Nilitamani watoto wa majirani. Maisha yalikua yamechukua mwelekeo mwingine kwa sababu kulingana na mila na desturi zetu  za kaifrika kukosa mtoto had umri wangu ule wa miaka 37 ilikua kama ni jambo la aibu kwa  sababu watu wengi hawakuamini lingetendeka. Baada ya kutafuta usaidizi wa kimatibabu katika  hospitali zaidi ya tano, nilipoteza tumaini na kukubali mambo jinsi yalivyokua. Sikuwatembelea  wazazi wangu hata wakati mmoja kwa kuwa wangeniuliza maswali ambayo sikuwa tayari  kuyajibu. 

Nilitembelea wahubiri walioniombea lakini wengi wao walitaka tu kula pesa nilizokua nazo. Madaktari wa miti shamba walinijua kwa sababu nilitembelea yeyote aliyejiita daktari wa miti  shamba kwa ajili ya kumaliza shida iliyokua mbele yangu lakini yote yaligonga mwamba vile  vile. Nilipokua nemepoteza imani kabisa, nilipatana na wavuti www.kiwangadoctors.com wakati  nilipokua nasoma magazeti mtandaoni. Nilipitia visa vilivyosuluhishwa na madaktari wa  Kiwanga na hapo siku iliyofuatia nilifunga safari hadi kwenye ofisi zao mjini Nakuru. Nilihudumiwa bila kupoteza muda wowote. Baada ya kurjea nyumbani baada ya siku mbili hivi,  mke wangu alirejea. Jambo la kwanza usiku ule ilikuwa ni kushiriki tendo la ndoa kwa kua ilikua  ni muda tangu anitoroke. Nilishangaa kwa kua hakulalamika tena kwa sababu kazi ilikua shwari. Nilijiambia moyoni kuwa madaktari wa Kiwanga walikua wamenisaidia pakubwa. Mke wangu  hakuwahi lalamikia swala la kutoteshelezwa kingono tena. Baada ya mwezi moja alienda  hospitalini na kaurifiwa kuwa alikua mja mzito. 

Iwapo una shida za kiume ambayo inakuletea soni katika ndoa yako, tembelea madaktari wa  Kiwanga kwa kua wanatatua shida hizi kwa muda mfupi tu. Wanatibu msukomo wa damu,  biashara kusumbua na mengineyo kwa siku tatu pekee. Usikawie kuwafikia iwapo una matatizo  yanayohitaji madaktari hawa. 

Watembelee leo upate suluhu. Wavuti www.kiwangadoctors.com 

barua pepe kiwangadoctors@gmail.com 

pia waweza kupiga simu kwa nambari +254 769404965.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad