Mwijaku Kwisha Habari Yake..Diamond Platnumz Ukimsumbua Anakuvuta Kwake Kukunyamazisha


Rich mavoko alivutwa wasafi kwa sababu alikuwa ni tishio kwa diamond kipindi hicho mavoko ndio alikuwa wamoto sana hapa bongo. Diamond alivyo ona hana njia ya kumshinda akamvuta wasafi chap auwe ushindani maana huwezi shindana na boss wako

Baada ya matusi mengi ya mitandaoni kutoka kwa mwijaku. Diamond kamvuta haraka sana akampa deal la u Ambassador wa wasafibet. Hizo ni mbinu tu za kumnyamazisha mwijaku maana huwezi kumtakana boss wako😂😂


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad