Rais Samia Acharuka...Alionya Genge Linalotaka Kuchafua Serikali yake

 


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameyaonya makundi yanayochafua Serikali yake ya awamu ya sita kwa kusema kuwa ufisadi umerudi na mambo yako hovyo.

Akizungumza leo Jumamosi Desemba 4, 2021 wakati akizindua gati katika Bandari ya Dar es Salaam, amesema kuna makundi ndani ya Serikali wanajua wanayoyafanya ingawa yanageuka na kusema Serikali hii ya awamu ya sita ufisadi umerudi.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad