Vijana Tafuteni Pesa, MAPENZI Hayana Umri Ukiwa na Pesa


 

Mwanadada Regina Daniels(21) asherehekea mume wake huyo Ned Nwoko(61) kumtumia zawadi ya Xmas dola $50,000 ambazo ni zaidi ya milioni 115 za Kibongo. Mrembo huyo ambaye ni mwigizaji maarufu Nigeria ametupia screenshot ya hamisho la pesa hizo


Wawili hao walifunga ndoa 2019 na wana mtoto mmoja, hata hivyo, Regina Daniels anatajwa kuwa ni mke wa 6 wa mfannyabishara huyo tajiri mwenye wake wengine na watoto mbalimbali


Kwa upande wako wewe eti sikukuu hii mpenzi wako kakupa zawadi gani?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad