AY Yamfika Hapa Kuhusu Mziki wa Amapiano "Ma DJ na Wanamuziki Mnaoimba Amapiano Nani Kashaitwa South Kupiga Hela"


Masta @aytanzania Mzee wa Commercial ameuliza kuhusu biashara ya muziki wa Amapiano kwa wasanii wa Tanzania nchini South Africa kama wao wanavyokuja kwa wingi kupiga pesa Tanzania.


Kupitia page yake ya Twitter AY ameandika kwamba "Wakuu, wasanii na Ma Dj's waliokuwa busy na kufanya Amapiano hapa Tanzania, mpaka leo nani kashaenda South Africa kuokota hela zao tujifunze biashara"


"Maana naona wasanii na dj's wa South Africa wanavyokuja kuokota hela Bongo,nini shida".

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad