Binti Aliyemuua Mama Yake Moshi Amliza Q Chief




“Akuzae, akuleee, akusomeshe then umchinje mamaaaako, dunia imekwisha, mwaka mzima huu habari ni kuuana, yaani mwaka huu Tanzania watu wameuana kuliko kuoana.

“Kila siku baba kaua mtoto au mtoto kaua mama au mama kaua mume, sijui kamchoma moto Allah huakbar Mungu ananiweka nione na nibadilike kiimani, what the f*** ingekuwa mimi, ndiyo kakaake ningemalizana naye palepale mbele ya polisi fastaaaaaa.

“Watu tunatafuta mama, watu wanaua mama, msichana mdogo unapata wapi ujasiri wa kumuuua mama ako serikali ingeweka utaratibu wa kuwapa ulinzi hawa wastaaaaafu, maana milioni 60 mama imemtoa roho, haya 200m itakuwaje si anaua familia nzima?

“Kweli nimeamini haki ya mtu iko hai hata kama yeye yuko mbele ya haki, funga hako kamal*** konky for lifetime,” @official_qchief, alipokomenti katika page ya @zamaradimketema kuhusu binti ambaye inadaiwa amehusika katika kumuua mama yake kwa kumchinja kisha kumzika karibu na nyumba yake sababu kubwa ikitajwa ni tamaa ya mali za mzazi wake huyo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad