Web

Gharama za Vifurushi vya Internet Zapanda



Wadau wameshuhudia mabadiliko katika bei za Vifurushi vya Intaneti, ikionekana Kampuni za Mawasiliano zimepunguza ukubwa wa Vifurushi vilivyokuwepo awali huku Wananchi wakilalamika kutofahamishwa kuhusu hatua hiyo

Mapema Mwaka 2021, Vifurushi vya Intaneti vilipanda na kupelekea malalamiko mengi yaliyosababisha Serikali kusitisha bei mpya za Vifurushi hivyo ili Watoa huduma wazipange upya kwa ufanisi


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad