Kutoka kwa mtangazaji na mwanamitandao maarufu Instagram kama DC wa insta @mwijaku_01 ameshare andiko ambalo limemtaja mwanamuziki @harmonize_tz kama icon /alama/ nembo ya muziki wa Bongofleva.
Mwijaku ametumia ukurasa wake wa Instagram kuandika andiko hilo refu katika maadhimisho ya miaka 58 ya mapinduzi ya zanzibar ,huku akimwagia sifa msanii huyo ambae ndie mmiliki wa record label ya KondeGang na kuelezea kuwa anastahili kupewa sifa akiwa hai.
C©✍🏾@keviiiy.iam