Muamuzi wa Kati kutoka nchini Rwanda, Salima Mukansanga ameweka rekodi leo Januari 18, 2022 kuwa muamuzi wa kwanza wa kike kutoka Barani Afrika kuchezesha Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON).
PICHA: Muamuzi wa kwanza wa kike kutoka Barani Afrika kuchezesha Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON), Mrembo Kweli
0
January 19, 2022
Muamuzi wa Kati kutoka nchini Rwanda, Salima Mukansanga ameweka rekodi leo Januari 18, 2022 kuwa muamuzi wa kwanza wa kike kutoka Barani Afrika kuchezesha Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON).
Tags