Rais Samia, Ndugai Wakutana IKULU, Wateta



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai (Mb) aliyefika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad