Web

TANZIA: Shabiki wa Simba SC ajinyonga Mbeya



Klabu ya soka ya Simba SC imeeleza kupokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha shabiki wake Khalfan Mwambena, ambaye kwa mujibu kwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Christina Musyani alijinyonga Jumatatu Januari 17, 2022.
Taarifa hiyo imefafanua kuwa marehemu Khalfan alijinyonga kabla ya mechi ya Mbeya City vs Simba SC ambao uliisha kwa Simba SC kupoteza 1-0.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad