Bondia wa Tanzania Twaha Kiduku Amchakaza Mkongo Alex Kabanga


Bondia wa Tanzania Twaha Kiduku [@twaha_kiduku] ameshinda kwa pointi pambano la raundi nane (8) na kuvikwa ubingwa wa UBO baada ya kumtwanga bondia Alex Kabangu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo🇨🇩

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad