Burna Boy Amekuwa Mwimbaji wa Kwanza Kutoka Nigeria Kuujaza Ukumbi wa Accor Arena Ufaransa


Burna Boy aka African Giant amekuwa mwimbaji wa kwanza kutoka Nigeria kuujaza ukumbi wa Accor Arena mjini Paris Mara Mbili. Burna Ameuza Tiketi zote za tamasha lake la SpaceDrift kwenye ukumbi unaoingiza watu 20,000. Awali Burna Boy aliwahii kuujaza ukumbi huu Novemba 10, 2021.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad