Burnaboy Atunzwa Sidiria na Mashabiki

 


Ni headlines za The African Giant Burna Boy ambaye mashabiki wa kike Jijini New York nchini Marekani wamemtunza zawadi ya sidiria wakati ana-perform kwenye tamasha la 'One Night In Space' Madison Square Garden. 


Mashabiki hao wamempa Burna Boy sidiria zao baada ya kukoshwa na performance yake ambayo alikuwa akiimba live na kucheza.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad