Harmonize Ampongeza Ali Kiba



Msanii Nyota nchini Harmonize ameendelea kuonyesha kutokuwa na tatizo na msanii mwezake Alikiba baada ya kumpongeza kwa kushinda Tuzo ya TMA katika kipengele cha “Album Bora ya Mwaka”

Kupitia insta-story yake @harmonize_tz amepost picha ya Alikiba na kuandika
“Congrats Nice Album Mfalme
TMA 2021” - Harmonize



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad