Harmonize "Nataka Kukuona tu Kajala Hata Kama Hatutaweza Kuwa Wote Tena"



Harmonize amebainisha kuwa anatamani kumuona #Kajala na hata kama haitowezekana kuwa wote ila amuombe msamaha.

Kupitia ujumbe wake huo mrefu wa insta story ameeleza kumuomba msamaha #Kajala ni sawa na kuwaomba msamaha wanawake wote duniani ambao anakili aliwakwaza.





Aidha mkali huyo ambaye ni muumini wa dini ya kiislamu, ameweka wazi kuwa hajafunga hata ramadhan moja tangu mwezi mtukufu uanze. Hii ni kutokana na kukosa hamu ya kula na kuendelea kwa malalamiko yake. Ameeleza.

Una lipi kwa Konde Boy Jeshi⁉️

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad