HomeUdaku SpeshoKijana wa miaka 25 kuoa mwanamke wa miaka 85 Kijana wa miaka 25 kuoa mwanamke wa miaka 85 0 Udaku Special April 06, 2022 Anaitwa Muima, kijana wa miaka 25 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo aliyezama katika penzi la Theresa bibi wa miaka 85.Pamoja na kupishana umri wa miaka 60, wawili hawa wanapendana sana na wenyewe wanakuambia umri ni namba tu kwao. Tags Udaku Spesho Newer Older