Kinda wa Kitanzania Kelvin John Apandishwa Timu ya Wakubwa KRC Genk


Kinda wa Kitanzania Kelvin John (19) ambaye alipandishwa na kuingizwa kwenye Timu ya wakubwa ya KRC Genk ya Ubelgiji jana amecheza mechi yake ya kwanza jana katika ushindi wa 5-0 vs Eupen ikiwa ni mechi ya Ligi Kuu Ubelgiji.

Kelvin John katika mchezo huo aliingia akitokea benchi dakika ya 81 kuchukua nafasi nafasi ya Mjapan Junya Ito na kwenda kumalizia dakika 9 zilizosalia “Nashukuru sana Mashabiki kwa sapoti nikicheza mchezo wangu wa kwanza KRC Genk, nafuraha sana asanteni wote” ——— @kelvin.p.john

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad