Mwijaku Aomba Radhi Watanzania Kwa Kusema Mlima Kilimanjaro Upo Arusha




kutoka kwa muhamasishaji wa kujitegemea , mtangazaji na mwanamitandao maarufu kama DC wa insta Mwijaku ametumia ukurasa wake wa instagram kuomba radhi kwa watanzania , Tanapa na serikali kwa ujumla kwa kitendo chake cha kusema mlima kilimanjaro unapatikana mkoani Arusha baada ya mkoa wa Kilimanjaro/moshi.

Mwijaku Alisema hayo alipokuwa akihojiwa na chombo kimoja Cha habari huko mkoani Arusha Alipokwenda kuhamasisha Uzinduzi was Filamu ya Royal tour 


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad