Tanasha Dona "Hauwezi Kufungua Mlango Mpya kwa Kutumia Ufunguo wa Zamani”


Mwanamuziki kutoka nchini Kenya #tanashadonna kupitia ukurasa wake wa Instagram ameweka ujumbe unahamasisha watu kubadilika kutokana na mazingira,

#tanashadonna✍️

“wakati mwingine ukuaji unakulazimisha kuwa na marafiki wapya, mazingira mapya na akili mpya na hauwezi kufungua mlango mpya kwa kutumia ufunguo wa zamani”.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad