Hatimaye Kajala Adondosha Comment Yake Kwenye Post ya Harmonize Instagram



Hayawi hayaei sasa yamekua, Yes hiyo ndio methali tunayoweza kuitumia kwa sasa mara baada ya mrembo @kajalafrida kujibu katika comment kwa mara ya kwanza kwenye post ya mwanamuziki @harmonize_tz kupitia ukurasa wake wa instagram.


Kupitia post hiyo ndefu ya Harmonize aliyoiita appreciation post akieleza majuto yake na mapito aliyopitia baada ya kuachana na muigizaji huyo, kajala aliamua kuacha comment yake kwa kuweka emoj zinazo ashiria kukubali pamoja kopa jekundu (🙏🏼🙏🏼🙏🏼❤) hii ikiwa ni mara ya kwanza tangu wawili hao walipo tofautiana kwa zaidi mwaka mmoja uliopita.

Mbali na hayo pia @kajalafrida ametumia insta story yake kuweka ujumbe unaotafsirika;


"Maumivu yote ni ya muda. usifanye uamuzi wa kudumu kutokana na maumivu ya muda na hali ya muda" — Kajala Masanja........

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad