Irene Uwoya atangaza kuolewa kwa mara nyingine

 


Staa wa filamu Irene Uwoya ametangaza kuolewa tena kabla ya mwaka huu 2022 kuisha kwa sababu yupo kwenye mahusiano mazito.


Tayari Irene Uwoya ameshaolewa na aliyekuwa mume wake marehemu Hamad Ndikumana na msanii Dogo Janja. 


Zaidi mtazame hapa kwenye video Irene Uwoya akizungumzia suala hilo la kuolewa kwa mara nyingine.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad