Kumbe Kisa Cha Kocha PABLO Kutimuliwa Simba ni Chama


IMEBAINIKA Kuwa kumbe kitendo cha kutimliwa kwa aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco, ni pamoja na kumuondoa kwake kambini jijini Mwanza, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo raia wa Zambia Cloutas Chama.

Mmoja wa Wajumbe wa kamati ya usajili ya Simba, KD’’ amesema kuwa Pablo hakumpenda Chama tangu anaingia kikosini hapo kwakuwa hakuwa sehemu ya mipngo ya usajili wake kwenye dirisha dogo, hali hiyo ilimfanyav kujenga chuki kwa Chama kiasi cha kupelekea kugombana mara kadhaa kila Chama aliposhauri jambo hata jema.

Mbali na hivyo utaona Chama alitimliwa kwenye kambi ya maandalizi ya mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports, jijini Mwanza jambo lililomfanya Chama kutimkia kwao Zambia.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad