Viwanja vikubwa Vinauzwa: Bunju na Mapinga




Kwa Mapinga tunavyo viwanja kuanzia sqm 400, sqm 600, sqm 800, sqm 1000, sqm 1500 na sqm 2000 
Bei ya sqm ni TZS 15,000 na viko umbali wa km 2 tu kutoka main road (dar to Bagamoyo Road).
Huduma za umeme na maji zipo.

Kwa Bunju vipo viwanja ukubwa wa sqm 1000, sqm 1500 na sqm 2000 na Bei na sqm moja ni TZS 40,000

Jipatie kiwanja safi kwa maisha ya sasa na ya badae.

Piga simu kwa mmiliki
0758 603077

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad