Dalili za Ugonjwa wa Gonoria (Gonorrhea) Kwa Wanaume na Wanawake


Dalili za Ugonjwa wa Gonoria (Gonorrhea) Kwa Wanaume na Wanawake

Dalili za Ugonjwa wa Gonoria (Gonorrhea) Kwa Wanaume na Wanawake


UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)

Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono. Ugonjwa huu husababisha na bakteria na huathiri sehemu za mirija ya mkojo (urthra) puru ama koo.


DALILI ZA UGONJWA WA GONORIA (GONORRHEA)

Kwa wanaume

1.Maumivu wakati wa kukojoa
2.Kutokwa na usaha kwenye kichwa cha uume
3.Maumivu ama kuvimba kwa korodani moja

Kwa wanawake

1.kutokwa na uchavu ukeni
2.Maumivu wakat wa kukojoa
3.Kutokwa na damu wakati wa hedhi isiyokuwa ya hedhi ama baada ya kukutana kimwili
4.Maumivu ya tumbo
5.Maumivu ya nyonga

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad