Dkt. Raphael Chegeni Ameteuliwa Kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara Akichukua Nafasi ya Ally Hapi.


Rais Samia amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa Wapya 9 na kuwahamisha vituo vya kazi Wakuu wa Mikoa 7 na wengine 10 kubakia kwenye nafasi zao ambapo amemteua Dkt. Raphael Chegeni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara akichukua nafasi ya Ally Hapi.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad