Akiongea na wanahabari siku ya jana katika viwanja vya maonyesho ya Sabasaba msanii huyo wa Singeli @dullamakabila ameeleza namna alivyotunga wimbo kwa ajili ya kumuomba @diamondplatnumz msamaha.
“Najua nilimkosea @diamondplatnumz na kabla ya kutoa wimbo niliomba ushauri ili isijekuonekana kama nakifanya naomba msamaha ili nitoe wimbo”
“Najua @majizzo atakasirika ila sina tatizo naye” aliongeza @dullamakabila