Rayvanny aweka wazi kilichomtoa WCB



CEO wa Next Level Music Rayvanny ni rasmi sasa ametangaza kuondoka kwenye lebo yake ya WCB ambayo amefanya nayo kazi kwa miaka 6 na kupata mafanikio mengi na kutoa hits kibao.
Msanii huyo ameweka wazi moja ya sababu iliyomfanya kutoka lebo ya WCB ni level ya ukuaji na kuanzisha maisha mengine nje.

Zaidi mtazame hapa Rayvanny akizungumzia suala hilo la kutoka WCB.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad