Sallam SK amejibu tuhuma za baadhi ya watu kwamba alikuwa akimbania Alikiba kwenye game la muziki


Sallam SK amejibu tuhuma za baadhi ya watu kwamba alikuwa akimbania Alikiba kwenye game la muziki

Akihojiwa katika kipindi cha SalamaNa, Sallam amesema tuhuma hizo hazina ukweli wowote, akifafanua kwamba ni ngumu kumbania Alikiba sababu alikuwa anafanya kazi na Seven Mosha kama meneja wake. Sallam amesema Seven Mosha ni mmoja wa mameneja bora Africa mashariki kama si Africa na tayari alishafanya kazi MTV

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad