Simba Yaomba Radhi Makosa ya Kiuandishi




Idara ya Habari na Mawasilino ya Klabu ya Simba SC imekiri kukosea jina la timu waliocheza nayo juzi Jumamosi (Julai 23) katika mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki wakiwa Kambini nchini Misri.

Simba SC iliripoti katika kurasa zake za Mitandao ya Kijamii imecheza dhidi ya Al Okhdood na kuicharaza bakora 6-0 katika mchezo huo.

Meneja wa Habari na Mawasilino wa Simba SC Ahmed Ally amekiri kuna makossa ya kiuandishi yalifanywa katika Kurasa zao za Mitandao ya Kijamii, hivyo wameomba radhi kwa makossa hayo.

“Tunaomba radhi kwa klabu ya Al Okhdood, ni makosa madogo ya kiuandishi yalitokea”

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad