Usajili wa kutikisa Afrika? Simba SC yamtambulisha kiyombo




Club ya Simba SC imemtambulisha rasmi Habibu Kiyombo kama mchezaji wao mpya, Kiyombo awali alitambulishwa kama mchezaji wa Singida Big Stars ila baada ya makubaliano ya Simba na Singida sasa Kiyombo amejiunga rasmi na Simba SC.

Stori kamili unaweza ukabonyeza play kufahamu zaidi.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad