Yanga "Tunaenda Kuweka Historia Kuleta Mchezaji wa Ligi Kuu ya Uingereza Kucheza Tanzania"


Wananchi, tumefanya usajli wa maana, tunaenda kuweka historia kuwa club ya kwanza Tanzania kuleta mchezaji kutoka ligi kuu ya Uingereza kuja kucheza TZ. Tunaleta vyuma vitatu na watu hawataamini.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad