DIRECTOR KENNY aeleza kilichomkosanisha na DIAMOND, kuoneana aibu na HARMONIZE walivyoanza kazi tena


Nini sababu ya Kenny kuacha kufanya kazi na Diamond? Anafunguka. Anaeleza pia jinsi ambavyo alikuwa ameamua kutofanya tena video za muziki. Je, alipoanza kufanya tena kazi na Harmonize, vibe ilikuaje? Hayo na mengine mengi fuatilia mahojiano haya


VIDEO:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad